Michael Mukuni
Michael Mukuni
  • Видео 53
  • Просмотров 458 128

Видео

BWANA ALITOA - THE LORD GAVE
Просмотров 895 лет назад
The song is based on Ephesians 4:11-14. Audio recorded in 1995 by the church in Mombasa
EZEKIELI ALIONA - EZEKIEL SAW
Просмотров 6025 лет назад
This song which is in Kiswahili focuses mainly on the four living creatures, their appearance and their movement. Their oneness serves as a big lesson to today's church. The four creatures do not turn when they move. This means that the one facing North does not turn to face South, and viseverser. This eliminates the possibilty of friction and confusion. It is interesting that these four creatu...
Ushuhuda wa Mchungaji Cosmas Kombo kutoka Uislam hadi Ukristo part 02
Просмотров 1,7 тыс.6 лет назад
Kombo's testimony From Islam to Christianity
Ushuhuda wa Mchungaji Cosmas Kombo kutoka uislam hadi ukristo part 01.
Просмотров 2 тыс.6 лет назад
Pastor Kombo was born a Muslim and raised as a Muslim in a Muslim family in Kinango, Kenya. But he later converted to Christianity. He is now a pastor of a church in his home area. The video contains his short testimony in Kiswahili.
Nakuru Conference August 2015
Просмотров 2009 лет назад
Lord's day on 9th August. Rejoicing in and before the Lord. Glory be to God.
JINJA CONFERENCE 2015
Просмотров 2169 лет назад
Lord's day meeting on 16th August, 2015 at Wanyange Teachers Trainaing college, Jinja. Last day of the conference. Attendants from Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania and South Sudan.
CHILDREN DANCING FOR JESUS
Просмотров 2099 лет назад
Lord's day fellowship at Mkulung'ombe church, Kinango, Kwale County, on July 5th, 2015.
PRAISING THE LORD
Просмотров 1239 лет назад
Lord's day at Mkulung'ombe church, Kinango, Kwale County on 05 July 2015
EVERYTHING DO IN THE NAME OF JESUS
Просмотров 2519 лет назад
Everything do in the name of Jesus (Col. 3:17). We need to do all things in the name of Jesus. Of course we don't need to sin in the name of Jesus neither do we need to sin at all. A simple gospel song.
LISTEN TO THE WORD OF THE LORD
Просмотров 1559 лет назад
Praising the Lord on new year's eve. The world should know that Jesus is the King of Kings and that those who believe in Him shall never die (John 8:51)
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 05 of 05
Просмотров 3,8 тыс.10 лет назад
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 05 of 05
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 04 of 05
Просмотров 4,5 тыс.10 лет назад
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 04 of 05
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 03 of 05
Просмотров 6 тыс.10 лет назад
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 03 of 05
Serious Dancing for Christ
Просмотров 22610 лет назад
At Bokole, Mombasa, Kenya.
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 02 of 05
Просмотров 10 тыс.10 лет назад
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 02 of 05
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 01 of 05
Просмотров 28 тыс.10 лет назад
Ushuhuda: Abel Suleiman, part 01 of 05
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 07 of 07
Просмотров 11 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 07 of 07
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 06 of 07
Просмотров 17 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 06 of 07
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 04 of 07
Просмотров 10 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 04 of 07
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 03 0f 07
Просмотров 2,4 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 03 0f 07
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 01 of 07
Просмотров 5 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 01 of 07
Mdahalo: Allah ni mungu wa kweli? part 05 of 05
Просмотров 4,3 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Allah ni mungu wa kweli? part 05 of 05
Mdahalo: Allah ni Mungu wa kweli? part 04 of 05
Просмотров 1,6 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Allah ni Mungu wa kweli? part 04 of 05
Mdahalo: Biblia vs Koran part 07 of 12
Просмотров 87 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Biblia vs Koran part 07 of 12
Mdahalo: Biblia vs Koran part 06 of 12
Просмотров 45 тыс.10 лет назад
Mdahalo: Biblia vs Koran part 06 of 12
MDAHALO: Biblia vs Koran part 02 of 12
Просмотров 26 тыс.11 лет назад
MDAHALO: Biblia vs Koran part 02 of 12
Praising the Lord at Kanana, south coast, Kenya.
Просмотров 9911 лет назад
Praising the Lord at Kanana, south coast, Kenya.
Fire part1
Просмотров 11511 лет назад
Fire part1
Fire along refinery road, changamwe, Mombasa
Просмотров 49911 лет назад
Fire along refinery road, changamwe, Mombasa

Комментарии

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 9 месяцев назад

    Great 👍🏿

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 9 месяцев назад

    Ulivyoona kamaliza dakika zake ukakata video ili majibu ya waislam tusiyaone😂. Ujanja-ujanja tu hamna lolote!

  • @frpbypass6812
    @frpbypass6812 11 месяцев назад

    Mchungaji anatoa kitu kwenye qran afu kimekosewa nyie mnakosoa bibria kwakutumia qran mwezenu anakosoa qran kutumia kuran

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Год назад

    Baruani kaongopa Mungu hajui bibilia

  • @user-wp9cq3gp6z
    @user-wp9cq3gp6z Год назад

    Haya Mungu wa Bibilia huyo Ana Mkono.. na Chanda .. WaKristo waulizeni hao MaPasta na WaIngilist wasema huyo Mungu wa Bibilia pia Ana Macho maana hawezi Andika mpaka awe na Macho.. Swali huyo Mungu wa Bibilia akiwa Kipofu.. yaani ni Nini ..Sijui niseme Nini..maana ni Ujinga au ni Upumbavu

  • @hamzahajji4650
    @hamzahajji4650 Год назад

    Inshaah

  • @hamzahajji4650
    @hamzahajji4650 Год назад

    Hiyo Aya anae ongea ninan

  • @hamzahajji4650
    @hamzahajji4650 Год назад

    Elimu yako ndogo wako ushabiki

  • @issachege5606
    @issachege5606 Год назад

    Beautiful may Jesus continue confusing them and show them the true light 😍

  • @samwelndaki201
    @samwelndaki201 Год назад

    Ubarikiwe sana mtumishi kuwapa ukweli wIslamu

  • @dawoudal-arabiybik3747
    @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

    Mi sijaona ushahid wowote uliotoa Kwa waislam hawana tabia ya kutukana watu huo ni uongo mtupu! Hujatoa hoja hata moja porojo tu na wakiristo kwa kuwa hamana akili nyote manashangilia Wew hujui kitu kumbe ahahaaaa ulitoka kwa ujinga kabisa na ukosefu wa akili....hukusoma uislam ukaufahum ndio maana na wakiristo wengi wanapotea kwa maandiko kama haya Fahamu Allah ni mmoja tu yye ni wa pekee hakuzaa wala hakuzaliwa yye anajitosheleza kwenye ufalme wake ... Yesu aliposema hiv lait ungeelew mi kwanza siamin bibilia kuwa ni kitabu cha mungu kwa hali yyte ile ila naamin ni kitabu cha dini yenu... Kina maneno ya Allah machache sana Maneno ya mitume machache Maneno ya wanahistoria mengi Maneno ya waandishi mengi Na mpaka mitazano ya ivyo kabisa yamo....ila hili andiko lilimaanisha nafsi zote ziliumbwa siku moja zote kwa hadithi sahihi ya mtume mahammad kwa sababu hukusoma ukajua watu wakakuambia hii maana yake ni mungu rudi ukasome tena

  • @dawoudal-arabiybik3747
    @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

    Quran ni moja tu...hii inaonesha namna gani ulivyo kuwa hujui kitu fasiri zipo nyingi kwa kuwa fasiri ni matumizi ya neno kwa maana ya utumiaji wa neno husika kwa tafsiri husika.

  • @dawoudal-arabiybik3747
    @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

    Wakiristo kwa kupoteza muda hiv unadhani kuzungumz kiarabu uchwara icho ndo itakuwa nini yan? Nilichojifunz ulizaliwa katik familia ya kiislam kweli,ila maskin kaacha dini ya haq kafata dini ya kupagwa...ila pia nilichojifunza propaganda wengi zimewapoteza Usio waislam hueneza kwamba Uislam ni uchawi¡ Uislam ni ugaidi¡ Kingne nilichojifunza wewe hukujua quran hata usomaji wako inaonekan tu ulikimbia kusoma watu wakakuposha ukawa kafiri ila kuwa kafir si kwa hasara ya mtu ila hasara kwako/

  • @kenidaki8942
    @kenidaki8942 Год назад

    Amina watumishi wa injili ya YESU KRISTO.mubarikiwe

  • @ericruyenzi566
    @ericruyenzi566 Год назад

    Koroani ni uchawi mtupu bila kupunguza!, hahhhahhhhhha!.

  • @ericruyenzi566
    @ericruyenzi566 2 года назад

    Poleni waislamu !,kumbe koroani ni uchawi!,hahhhahhhhhha

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 2 года назад

    Amina yesu nitiye njiya ya usima wamire🇺🇬🙏🙏👏👏🙌🙌

  • @bubasha88
    @bubasha88 2 года назад

    Huu ni kweli Biblia ni Kitabu cha Mungu, Kutoka 31:18; 32:15; 2 Petro 1:20-21; Ufunuo 22:18-19

  • @yahyaibrahim6546
    @yahyaibrahim6546 2 года назад

    Kudadeki sisi waislam hatujamuelewa ujinga wenu hhhhh yani mi naona nyinyi mnadokowa hamsomi kwa ufafanuzi nyinyi wakristo io qur an iko wazi sana na inaeleweka em jiulizeni kwa umakini akili zenu za kilevi izoh leo ndo nimegundua wakristo asa mazuzu hhhhh

  • @yahyaibrahim6546
    @yahyaibrahim6546 2 года назад

    Hu mdahalo mbona hamjawaweka waislam hahahah mmeukata nusu naona wanaongea wakristo tuh

  • @yahyaibrahim6546
    @yahyaibrahim6546 2 года назад

    Wakristo io sio dini mungu hazaliwi nyinyi mungu wenu kajaa madhaifu mungu anazaliwa mungu anakula mungu anapumua mungu anakaa tumboni huu si ujinga hamna tofauti na waliokua wakiabudu masanamu wanabudu midude isio ongea yani me nakwambieni hamtompata muislam ata mmoja kuingia ukristo kwasbb maneno yenu ya hovyo dini yenu haijulikani dini gani mashaka tuh mungu anatoka kwenye kuma umeona wapi

  • @musapoli4276
    @musapoli4276 2 года назад

    Hakuna kitu anajua huyo hata kusoma kwenyenwe ana soma mahalage matupu

  • @victorkakalicommedian1602
    @victorkakalicommedian1602 2 года назад

    Mashala

  • @victorkakalicommedian1602
    @victorkakalicommedian1602 2 года назад

    Wambie sheck wangu

  • @Sempreapostandonaverdade989
    @Sempreapostandonaverdade989 2 года назад

    Bíblia vs Quran part 3

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 3 года назад

    Hawa wakristo wako vizuri, sio kama Hawa makafiri waislamu.

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 3 года назад

    Mmmmhh huyu mwalimu ni hatari, yanii anawatengeneza kwelikweli hawa waislam, yani kimyaaaaaaa, wote wamekufaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 3 года назад

    Kumbe abel alikuwa muislamuuuuu nfomana anawanyorodha kweli hawa waislamu sahii

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 3 года назад

    Aah pastor eti mungu ana mkono allaa

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 3 года назад

    Wislam ni ugaidi na ufuga majin tu

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 3 года назад

    Bila yesu mnapoteza muda tu Muhammad aliisha kufa yesu yupo hai hivi nn kime wafunga kuelewa yesu ndo mpango mzima

  • @kitwanamaftah6818
    @kitwanamaftah6818 3 года назад

    Kujua jambo nivizuri kuliko kupiga kelele

  • @nairobiflavour
    @nairobiflavour 3 года назад

    Yesu asifiwe wakristu wenzangu

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 3 года назад

    WAITEMI WAISLAM HAPO KAMA UTAZUNGUMZA MANENO YAKO HAYO. NA MJINI NI YENU KILA SIKU KANISANI MNATOLEANA MAJINI

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 3 года назад

    ACHA UWONGO WEWE DANGANYA WAJINGA WENZIO

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 3 года назад

    KATI YA WAISLAM NA WAKRISTO NANI WANAOMBEWA KILA SIKU KUTOLEWA MJINI KAMA YINYI WAKRISTO AYO YENU MNAKATAA NINI

  • @cleophacekalilo2729
    @cleophacekalilo2729 3 года назад

    Kuna Papa anawatuma maaskofu katika sehemu mbalimbali kwa Ajiri ya kuhubiri Je Papa Ni Mungu ?

  • @cleophacekalilo2729
    @cleophacekalilo2729 3 года назад

    Kristo kutuma malaika au mitume siyo kwamba yeye Ni Mungu Kama ndiyo hivyo Basi Kama Paulo aliwatuma Tito ,n.k Je Paulo Ni Mungu ?

  • @shake9459
    @shake9459 3 года назад

    Biblia ni kitabu cha mungu

  • @edymoney5895
    @edymoney5895 3 года назад

    Hakika najivunia kua mkristo

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya7688 3 года назад

    Siri imefichuka quran si maneno ya Mungu. Ni uchawi

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 4 года назад

    Hatukupati vzr sauti iko chini sana

    • @maikoumilesh
      @maikoumilesh 4 года назад

      Samahani sana kwa sauti. Tutajaribu kurekebisha next time.

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 4 года назад

    Sauti haikuwa sawa

  • @abumohammad3523
    @abumohammad3523 4 года назад

    Nabi tena ni mungu staghafiru Llah

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 4 года назад

    Hoja gani nzito iliyokutoa uislam ukaingia ukristo ili watu wakuelewe.maana mimi naamini huna jipya.mtafute sheikh yusuf,na yahya uhojiane nao tuone kama utatoboa.

    • @hanifamsuri1129
      @hanifamsuri1129 3 года назад

      Ndugu Yesu hashindanishwi na hoja za kibinadamu akiamua uokoke ni lazima utaokoka hata kama ulikuwa mbishi

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 4 года назад

    Hoja gani nzito iliyokutoa uislam ukaingia ukristo ili watu wakuelewe.maana mimi naamini huna jipya.mtafute sheikh yusuf,na yahya uhojiane nao tuone kama utatoboa.

  • @masungwasalumu1278
    @masungwasalumu1278 4 года назад

    Haleluya Biblia ni maneno ya Mungu Qruani ni maneno ya uongo tuu soma Qruan 33;78 utajua hiyo waislam tubuni mbatizwe muokoke Amina Mazinge kakimbia Leo moto

  • @davidotv8228
    @davidotv8228 4 года назад

    Dah!🔥🔥🔥😁😁

  • @davidotv8228
    @davidotv8228 4 года назад

    Neno la Mungu halipingiki kamwe!

  • @hombelozabroni9226
    @hombelozabroni9226 4 года назад

    Huyu haujui hats uisilamu we we pinga hela tu ukichoka ukitaka ndini niuisilamu mengine hayo in tamaa zetu tu

    • @maikoumilesh
      @maikoumilesh 4 года назад

      Ajabu! Huyu alizaliwa katika familia ya kiislamu, kakulia kwenye uislamu, imekuwa sasa hajui uislamu?